RC Dar: “Wananchi Nendeni Mkapige Kura, Mkoa Upo Shwari”

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge mapema leo amepiga kura katika kituo cha kupigia kura cha Shule ya Msingi Kawe “A” ambapo baada ya kupiga kura amezungumza na wanahabari na kuwataka wananchi wa mkoa wake kujitokeza kupiga kura kwani hadi sasa hakuna tukio lolote ambalo limeripotiwa la uvunjifu wa amani na hivyo Dar es Salaam ipo Shwari licha ya changamoto ndogondogo ambazo Tume ya Taifa ya Uchaguzi inazishughulikia ili kila mwananchi mwenye sifa ya kupiga kura apate haki yake ya msingi ya kikatiba.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments