PICHA: Rais Dk.Shein Amepiga Kura Yake Leo Kituo Cha Kupigia Kura Skuli Ya Bungi Wilaya Ya Kati Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa katika foleni akisubiri zamu yake kwa ajili ya kupiga kura yake kuwachagua Rais wa Zanzibar,Rais wa Tanzania  Mbunge.Mwakilishi na Diwani , akiwa katika Kituo cha Kupigia Kura Skuli ya Bungi Wilaya ya Kati Unguja.leo 28/10/2020.
 MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein  wa tatu akiwa katika foleni akisubiri zamu yake kwa ajili ya upigaji wa kura katika Kituo cha kupigia Kura Skuli ya Bungi Wilaya ya Kati Unguja



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments