MAGUFULI AUNGURUMA MANYARA AKINADI SERA ZA CCM NA KUOMBA KURA...."VIJANA WANASEMA TUMETOBOA...NA KWELI TUMETOBOA KIMAENDELEO..TUSIKUBALI KUCHONGANISHWA"
Sunday, October 25, 2020
NI MAGUFULI DAY: Siku mbili kuelekea Uchaguzi Mkuu, Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli ameendelea kuwafikia Mamilioni kwa Mamilioni ya Watanzania na Kunadi Sera, Ilani ya CCM na kuomba kura kwa Wananchi na Leo ni Zamu ya Manyara ambako amefanya Mkutano Mkubwa uliofana sana pale Babati na haya ndiyo aliyoyazungumza Kwenye Mkutano huo.
#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin