HAWA GHASIA (CCM) ASHINDWA UBUNGE MTWARA MJINI.....CUF YAIBUKA KIDEDEA


Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Mtwara Mjini amemtangaza Hassan Mtenga wa CCM kuwa Mshindi wa Ubunge Jimbo la Mtwara Mjini kwa kupata kura 22,411 akifuatiwa na Mgombea wa CUF, Maftaha Abdallah Nachuma aliyepata kura 13,586.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments