![](https://1.bp.blogspot.com/-0vzE5DNmlMI/X3oGTxt9OuI/AAAAAAABAKU/0aMH4oY_g54h11qy1CMAKztmV8HOev7mACNcBGAsYHQ/s640/magufuli%2Bbashiru.jpeg)
Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally Kakurwa Kesho Jumatatu Oktoba 05, 2020 atazungumza na Wazee wa Zanzibar Kutoka Kisiwandui Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja Kuanzia Saa 8 Mchana ili Kutoa mwenendo wa Kampeni za CCM. Si ya Kukosa wala ya Kutaka Usimuliwe. #T2020JPM #Mwinyi2020