DK. HUSSEIN MWINYI AHITIMISHA KWA KISHINDO KAMPENI ZA UCHAGUZI ZANZIBAR....KIKWETE ATIA NENO


MWINYI DAY 28: Kampeni za Mgombea Urais wa CCM Zanzibar Dkt Hussein Ali Mwinyi zimefungwa rasmi Leo Jumapili Oktoba 25, 2020 kwenye Viwanja Vya Kibanda Maiti na Mgombea huyo makini na mzoefu mkubwa kabisa amepata nafasi ya kuhutubia Kwenye Mkutano wake huo wa Mwisho wa Kampeni. na haya ndiyo aliyoyaongea Kwenye Kufunga Kampeni hizo ambazo zimehudhuriwa pia na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete na Mgombea Mwenza Urais Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan. Zanzibar iko tayari na Dkt Mwinyi na mitambo imeshatiki inasubiri tu Oktoba 28.

#YajayoniNeematupu
#Mwinyi2020

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments