MAGUFULI KUHITIMISHA RASMI KAMPENI ZA UCHAGUZI KESHO DODOMA

 

Baada ya siku 60 za kuzunguka nchi nzima kukutana na Watanzania na Kunadi Sera na Ilani bora ya CCM, hatimaye Mgombea Urais wa CCM anahitimisha Kampeni zake Dodoma na kurudi Makao Makuu.

Ni Kesho Jumatatu Oktoba 26, Dkt John Pombe Magufuli atahitimisha Kampeni zake Mkoani Dodoma. Watanzania wamesikia na wamejionea Sera nzuri zilizohubiriwa na CCM kote nchini na Sasa wako tayari kutoa kura Zote kwa CCM.

#KuraKwaMagufuli2020

#T2020JPM

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments