KISHINDO CHA MGOMBEA URAIS CCM DKT. JOHN POMBE MAGUFULI MJI WA VWAWA SONGWE LEO


Mambo mbalimbali yaliyojiri na aliyoyazungumza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt John Pombe Magufuli kwenye Mkutano wake mkubwa wa Kampeni za Kuomba Kura kwenye Mji wa Vwawa Uliopo Mkoani Songwe leo Oktoba 1,2020. Kila anakopita Watu wanafurika. Nchi inamtaka Magufuli, Watu Wanaitaka CCM.#T2020JPM #MITANOTENA

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527