MGOMBEA URAIS CCM, DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI WA KISIWA CHA ZANZIBAR


Wananchi wa Zanzibar waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika viwanja vya Mnazi mmoja Kisiwani Zanzibar Oktoba 3,2020

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Zanzibar katika mkutano wa Kampeni za Urais kwa CCM uliofanyika katika uwanja wa Mnazi mmoja kisiwani Zanzibar  tarehe 03 Oktoba 2020.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein, mgombea Urais wa Zanzibar Husein Ali Hassan Mwinyi pamoja na viongozi wengine wakiomba dua kabla ya kuanza kwa mkutano wa Kampeni za CCM katika viwanja wa Mnazi mmoja tarehe 03 Oktoba 2020.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Zanzibar katika mkutano wa Kampeni za Urais kwa CCM uliofanyika katika uwanja wa Mnazi mmoja kisiwani Zanzibar tarehe 03 Oktoba 2020.
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Zanzibar katika mkutano wa Kampeni za Urais kwa CCM uliofanyika katika uwanja wa Mnazi mmoja kisiwani Zanzibar tarehe 03 Oktoba 2020.
Wananchi wa Zanzibar waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika viwanja vya Mnazi mmoja Kisiwani Zanzibar
Wananchi wa Zanzibar waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika viwanja vya Mnazi mmoja Kisiwani Zanzibar
Wananchi wa Zanzibar waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika viwanja vya Mnazi mmoja Kisiwani Zanzibar
Wananchi wa Zanzibar waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika viwanja vya Mnazi mmoja Kisiwani Zanzibar
Wananchi wa Zanzibar waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika viwanja vya Mnazi mmoja Kisiwani Zanzibar
Wananchi wa Zanzibar waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika viwanja vya Mnazi mmoja Kisiwani Zanzibar
Wananchi wa Zanzibar waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika viwanja vya Mnazi mmoja Kisiwani Zanzibar
Wananchi wa Zanzibar waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika viwanja vya Mnazi mmoja Kisiwani Zanzibar.
 PICHA NA IKULU

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527