TUNDU LISSU KUZINDUA KAMPENI ZAKE MKOANI DODOMA LEO KATIKA UWANJA WA SHULE YA MSINGI UHURU

Leo, tarehe 04 September 2020, mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  kupitia CHADEMA,  Tundu Lissu

ataendelea na uzinduzi wa kampeni ambapo leo atazindua kampeni kwenye kanda ya kati. 

Uzinduzi huo utafanyika katika viwanja vya shule ya msingi Uhuru mkoani Dodoma.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527