PPRA YASHIRIKI MAONESHO YA WAHANDISI 2020,YATOA UJUMBE KWA WADAU JIJINI DODOMA


Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA, Mhandisi Leonard S. Kapongo akimsikiliza Meneja wa TANROADS Mkoa wa Manyara, Mhandisi Bashiri Rwesingisa, ambaye alitembelea banda la PPRA katika Maonesho ya Siku ya Wahandisi mwaka 2020
Watumishi wa PPRA wakitoa elimu kwa wadau
Watumishi wa PPRA wakiwa katika banda lao wakati wa maonesho ya Siku ya Wahandisi (Annual engineers day), 2020 yanayofanyika jijini Dodoma.
 Kaimu Mkurugenzi wa Kujenga Uwezo na uduma za Ushauri - PPRA, Mhandisi Mary Swai, akitoa elimu kuhusu huduma zinazotolewa na PPRA kwa wadau waliotembelea banda la PPRA kwenye Maonesho ya Siku ya Wahandisi (Annual engineers day), 2020 yanayofanyika jijini Dodoma.
Afisa Mtendaji mkuu wa PPRA, Mhandisi Leonard S. Kapongo akiwa pamoja na watumishi wa Mamlaka hiyo alipotembelea banda lao katika maonesho ya Siku ya Wahandisi (Annual engineers Day), 2020 kujionea namna zoezi la utoaji elimu kwa wadau linavyoendelea.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527