Home »
habari
» Picha : MWENYEKITI WA CCM RAIS MAGUFULI AHUTUBIA WANANCHI WA BAHI
Picha : MWENYEKITI WA CCM RAIS MAGUFULI AHUTUBIA WANANCHI WA BAHI
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipokewa na mamia ya wananchi wakati akiwasili wilayani Bahi mkoa wa Dodoma kwa mkutano wa kampeni wa hadhara leo Jumanne Septemba 1, 2020, ikiwa ni kituo chake cha kwanza tangu azindue rasmi kampeni zake za kugombea Urais
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako
Malunde 1 blog Ipo PlayStore....Pakua App yetu mpya HAPA Upate Habari Mpya Moja Kwa Moja Kwenye Simu yako..Utasoma habari hata kama hauna MB..Bofya Hapa