NEC YATOA UAMUZI WA RUFAA 87 NA KUWAREJESHA WAGOMBEA 47 WA UDIWANI


Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa Uchaguzi Dkt. Wilson Mahera Charles akitoa taarifa kuhusu rufaa za madiwani kwenye  Mkutano kati ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Watoa Huduma ya Habari Mitandaoni,uliofanyika leo katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere, jijini Dar es salaam. Picha na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Watoa Huduma ya Habari Mitandaoni wakichukua matukio.
**



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527