Angalia Picha : MAELFU WAJITOKEZA MKUTANO WA KAMPENI ZA UCHAGUZI CCM MAGUFULI LEO SHINYANGA



Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho tawala Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiserebuka na msanii wa Bongo Fleva Chegge Chigunda wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni za Uchaguzi CCM katika Uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga leo Alhamisi Septemba
3, 2020.
 (PICHA NA KADAMA MALUNDE NA IKULU)



Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho tawala Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiserebuka na msanii wa Bongo Fleva Chegge Chigunda wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni katika Uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga leo Alhamisi Septemba
3, 2020


Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho tawala Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiserebuka na msanii wa Bongo Fleva Chegge Chigunda wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni katika Uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga leo Alhamisi Septemba
3, 2020

Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza huku akiwa ameishika Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa mwaka 2020-2025 katika mkutano wa Kampeni za Urais kwa upande wa CCM uliofanyika katika uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga leo Septemba 3, 2020.
Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Shinyanga mjini katika Mkutano wa Kampeni za Urais kwa upande wa CCM uliofanyika katika uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga leo Septemba 3, 2020
 
Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Shinyanga mjini katika Mkutano wa Kampeni za Urais 
Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza huku akiwa ameishika Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM kwa mwaka 2020-2025 katika mkutano wa Kampeni za Urais kwa upande wa CCM uliofanyika katika uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga leo Septemba 3, 2020.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa Kampeni za CCM katika uwanja wa CCM Kambarage Mjini Shinyanga.
Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Shinyanga.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwatambulisha wagombea ubunge majimbo mbalimbali mkoa wa Shinyanga
Mgombea ubunge Jimbo la Kishapu Boniface Butondo akizungumza kwenye mkutano wa kampeni za Uchaguzi CCM katika uwanja wa CCM Kambarage leo.
Mgombea ubunge Jimbo la Solwa Ahmed Salum 'Jembe lisiloisha makali' akizungumza kwenye mkutano wa kampeni za Uchaguzi CCM katika uwanja wa CCM Kambarage leo.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulisha mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi na kumuombea kura kwa wananchi wa Shinyanga.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitambulisha wagombea udiwani Jimbo la Shinyanga Mjini.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Mabala Mlolwa akizungumza
Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi akiomba kura kwa wananchi wa Shinyanga.
Wagombea Ubunge Majimbo mbalimbali mkoa wa Shinyanga wakicheza muziki 
Katibu wa Siasa na Uenezi CCM, Humprey Polepole akizungumza.
Mgombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini, Patrobas Katambi akizungumza kwenye mkutano wa Kampeni za Uchaguzi CCM.
Viongozi mbalimbali mkoa wa Shinyanga wakiwa kwenye mkutano wa Kampeni za CCM katika uwanja wa CCM Kambarage Mjini Shinyanga.
Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa Kampeni za CCM katika uwanja wa CCM Kambarage Mjini Shinyanga. Kushoto ni MNEC Gaspar Kileo
Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa Kampeni za CCM katika uwanja wa CCM Kambarage Mjini Shinyanga.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa Kampeni za CCM katika uwanja wa CCM Kambarage Mjini Shinyanga.

Waandishi wa habari wakiendelea kuchukua matukio
Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa Kampeni za CCM katika uwanja wa CCM Kambarage Mjini Shinyanga.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa Kampeni za CCM katika uwanja wa CCM Kambarage Mjini Shinyanga.
Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi CCM
Wagombea udiwani Jimbo la Shinyanga Mjini wakiwa kwenye mkutano wa Kampeni za uchaguzi CCM.
Viongozi wa dini wakiwa kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi CCM
Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa Kampeni za uchaguzi CCM
Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa Kampeni za uchaguzi CCM
Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa Kampeni za Uchaguzi CCM
Wananchi wakiwa kwenye mkutano wa Kampeni za Uchaguzi CCM


Msanii kutoka Shinyanga Nkunda Star akitoa burudani
Msanii Sholo Mwamba akitoa burudani
Makada wa CCM wakicheza muziki
Makada wa CCM wakicheza muziki.
Wakazi wa Shinyanga wakiwa kwenye Mkutano wa Kampeni za CCM.

Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga kwa ajili ya Mkutano wa Kampeni za Urais leo Septemba 3, 2020.
Picha zote na Kadama Malunde & Ikulu 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527