Picha : PROF.IBRAHIM LIPUMBA ACHUKUA FOMU NEC KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA KUPITIA CUF


Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi  NEC, Jaji wa Rufaa (Mst), Semistocles Kaijage akikabidhi fomu za kugombea kiti cha Rais kwa Mgombea wa Chama cha Wananchi CUF, Prof.Ibrahim Lipumba aliyeambatana na Mgombea Mwenza, Hamida Abdallah Huaeshi katika Ofisi za NEC,Njedengwa Dodoma leo.



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527