NEC YAMTEUA LEOPOLD MAHONA KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA KWA TIKETI YA CHAMA CHA NATIONAL RESISTANCE ALLIANCE (NRA)

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewateua Leopold Mahona kugombea Urais wa Tanzania na Ally Hassan kugombea nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania kupitia Chama cha National Resistance Alliance (NRA).


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527