Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewateua Leopold Mahona kugombea Urais wa Tanzania na Ally Hassan kugombea nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania kupitia Chama cha National Resistance Alliance (NRA).
Download/Pakua App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527