Mgombea Ubunge Jimbo la Solwa mkoani Shinyanga katika uchaguzi Mkuu 2020, Ahmed Salum kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo Jumanne Agosti 25,2020 amerudisha Fomu kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Solwa Hoja Mahiba (kushoto).
Download/Pakua App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527