WAZIRI WA TAMISEMI SULEIMAN JAFO ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KISARAWE

Waziri wa TAMISEMI Suleimani Jafo, leo Julai 14, 2020, amechukua fomu ya kuomba ridhaa  ya chama chake ili kimteue kwa ajili ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kisarawe.




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527