Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Achukua Fomu Za Kuwania Tena Ubunge Wa Ruangwa

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na Mkewe Mary Majaliwa wakikaribishwa na Katibu wa CCM wa Wilaya  ya Ruangwa, Barnabas Essau (kulia) wakati walipowasili kwenye Ofisi ya CCM ya wilaya hiyo kuchukua fomu za kuwania tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa, Julai 15, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments