MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM PAUL MAKONDA ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda leo Julai 15 amechukua Fomu ya kuomba ridhaa ya Kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Kigamboni kupitia tiketi ya Chama cha mapinduzi CCM.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527