Video: MGOMBEA ATUMIA LUGHA YA KICHINA KUOMBA KURA JIMBO LA KAWE

Uchaguzi wa kura za maoni kwenye Jimbo la Kawe Dar es salaam unaendelea muda huu ambapo  Watia nia  mbalimbali wanajinadi mbele ya wajumbe.


Mtia Nia namba 75 yeye kaamua kutumia lugha ya kichina kufikisha ujumbe wake 

==>>Tazama hapo chini


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527