
Wito huo ameutoa leo Ikulu ya Jijini Dodoma wakati wa kuwaapisha viongozi wapya walioteuliwa hivi karibuni.
Aidha Rais Magufuli, amesema kuwa ufanisi mzuri wa watendaji hao katika nafasi zao ndio itakuwa chachu ya kuendelea kuinua uchumi wa kati kutoka hapo ulipo na kukua zaidi.
“Nendeini mkachape kazi ya kuwatumikia watanzania kwa kumtanguliza Mungu ili kuweza kufanikiwa katika kutekeleza majukumu yenu”, amesisitiza Rais Magufuli. (PICHA: IKULU)
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako