STANLEY OTTO MAYUNGA ARUDISHA FOMU KUGOMBEA UBUNGE SHINYANGA MJINI


Stanley Otto Mayunga akirudisha fomu ya kuomba kugombea ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini. Kulia ni Katibu wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Agnes Bashemu.
***
Kada wa Chama Cha Mapinduzi Stanley Otto Mayunga amechukua na kurudisha fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini.

Stanley Otto Mayunga amechukua fomu leo Jumanne Julai 14,2020 asubuhi na kurudisha fomu leo mchana katika ofisi za CCM wilaya ya Shinyanga Mjini.
Stanley Otto Mayunga akirudisha fomu ya kuomba kugombea ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini. Kulia ni Katibu wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Agnes Bashemu. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Stanley Otto Mayunga akizungumza baada ya kurudisha fomu ya kuomba kugombea ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini. 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527