Mwanaharakati Cyprian Musiba amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea ubunge katika Jimbo la Mwibara, Mkoa wa Mara.
Jimbo hilo linaongozwa na Mbunge Kangi Lugola kupitia (CCM).
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527