MRISHO GAMBO ANG'AA UCHAGUZI KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA ARUSHA MJINI


Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ameibuka mshindi wa kura za maoni za jimbo la Arusha Mjini kwa kupata kura 333 akifuatiwa na Philemon Mollel kura 68 na wakili Albert Msando akipata kura 19.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527