DKT. EMMANUEL KIBERITI AREJESHA FOMU KUGOMBEA UBUNGE JIMBO LA SHINYANGA MJINI


Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Kiberiti akirejesha fomu ya kuomba ridhaa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini leo Ijumaa Julai 17,2020 katika ofisi za CCM wilaya ya Shinyanga Mjini kwa Katibu wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini, Agnes Bashemu (kushoto). Picha na Kadama Malunde – Malunde 1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527