DAVID SILINDE APIGA MAGOTI MBELE YA WAJUMBE KUOMBA APITISHWE KURA ZA MAONI CCM

Zoezi la kujinadi kwa watia nia Ubunge Jimbo la Tunduma limeanza, David Silinde amepiga magoti kuwaangukia wajumbe kumpatia kura zote. 


Jumla ya wagombea 33 wanajinadi kupeperusha bendera ya CCM kuutaka Ubunge.


Credit:ITV


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527