ADVOCATE METHUSELA GWAJIMA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA JIMBO LA KAWE

Mwanasheria Methusela Gwajima (kushoto) leo Julai 15,2020 amechukua fomu ya kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Kawe jijini Dar es salaam kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527