WENYE VIRUSI VYA CORONA NCHINI KENYA WAFIKA 270....NI BAADA YA WENGINE 8 KUONGEZEKA LEO
Sunday, April 19, 2020
Naibu Waziri wa Afya nchini Kenya, Dr Mercy Mwangangi amesema watu wawili wamefariki kutokana COVID-19 nchini humo, ambapo hivi sasa jumla ya watu 14 wamefariki tangu kisa cha kwanza kiliporipotiwa.
Pia watu 8 wamepatikana na maambukizi na kufanya idadi yao kufikia 270.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin