MOTO WA AJABU WAUNGUZA NYUMBA...PAA LATEKETEA BILA KUUNGUZA VITU NDANI


Habari zilizotufikia hivi punde kutoka shehia ya Maziwani wilaya ya Wete Pemba, na kuthibitishwa na sheha wa shehia hiyo, zinaeleza kuwa, kuna nyumba imeungua moto sehemu ya mapaa tu, ambapo moto huo uliopewa jina la moto wa maajabu, haukuunguza vitu vingine.

Aidha moto huo haukugharimu maisha ya mtu yeyote, pamoja na paa kuteketea lote, lakini hakuna kitu chengine kilichoathirika kutokana na moto huo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527