MATOKEO| FULL TIME- SIMBA YAPELEKA KILIO MBEYA CITY


Klabu ya Soka ya Simba SC imeiadhibu bila huruma Mbeya City baada ya kuifunga goli 4 kwa sifuri kwenye mchezo uliopigwa kwenye uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam huku Medie Kagere akiendeleza moto wake wa kufunga.

Mabao ya Simba yamefungwa na Medie Kagere dakika ya 8 kwa mkwaju wa penati huku mabao mengine yakifungwa na Clatous Chama dakika ya 43, Shiboub dakika ya 78 na Deo Kanda dakika ya 87.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527