CHADEMA YATOA MAJINA YA WAGOMBEA NGAZI YA KANDA...LAZARO NYALANDU NAYE YUMO


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza wagombea mbalimbali wa uchaguzi ndani ya chama hicho ngazi ya kanda ambao wameteuliwa kwenye kikao cha Kamati Kuu cha Novemba 23, 2019 ambapo mwanasiasa mkongwe, Lazaro Nyalandu, amepitishwa kugombea uenyekiti wa kanda ya kati akichuana na Alphonce Mbassa.


Nafasi hizo za walioteuliwa ni mwenyekiti wa kanda, makamu mwenyekiti na mweka hazina ambapo chama hicho kinatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu Desemba 18, mwaka huu.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527