MWENYEKITI WA SADC MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA NDANI CHA WAKUU WA NCHI HIZO IKULU
Saturday, August 17, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza Mkutano wa Ndani wa W akuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa
Zimbabwe Mheshimiwa Emerson Mnangagwa akisoma moja ya kitabu cha Lughaya Kiswahili
katika Mkutano wa Ndani wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika
SADC Ikulu jijini Dar es Salaam. Kitabu hicho alikabidhiwa naMwenyekitiwa SADC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania MheshimiwaDkt. John
Pombe Magufuli kabla ya mkutano huo.
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Felix Tshisekedi akisoma moja ya kitabu cha Lughaya Kiswahili
katika Mkutano wa Ndani wa Wakuu wa Nchi
na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC Ikulu jijini Dar es Salaam.
Kitabu hicho alikabidhiwa na Mwenyekiti wa SADC Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MheshimiwaDkt. John Pombe Magufuli kabla ya mkutano huo. PICHA NA IKULU
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin