|
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza Mkutano wa Ndani wa W akuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC Ikulu jijini Dar es Salaam.
|
|
Rais wa
Zimbabwe Mheshimiwa Emerson Mnangagwa akisoma moja ya kitabu cha Lughaya Kiswahili
katika Mkutano wa Ndani wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika
SADC Ikulu jijini Dar es Salaam. Kitabu hicho alikabidhiwa naMwenyekitiwa SADC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania MheshimiwaDkt. John
Pombe Magufuli kabla ya mkutano huo. |
|
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Felix Tshisekedi akisoma moja ya kitabu cha Lughaya Kiswahili
katika Mkutano wa Ndani wa Wakuu wa Nchi
na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC Ikulu jijini Dar es Salaam.
Kitabu hicho alikabidhiwa na Mwenyekiti wa SADC Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
MheshimiwaDkt. John Pombe Magufuli kabla ya mkutano huo. PICHA NA IKULU
|
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527