RAIS MAGUFULI KUWAAPISHA VIONGOZI WATATU IKULU KESHO

Rais Magufuli kesho Juni 10, 2019 atawaapisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Lugha Bashungwa, Katibu Tawala wa Mkoa wa Njombe, Charles Kichere na Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Dkt. Edwin Mhende


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527