MAFURIKO YA WANAWAKE YAIKUMBA ESWATINI..MFALME MSWATI AAGIZA KILA MWANAUME AOE WAKE WAWILI LA SIVYO UTUPWE JELA!

Mfalme wa Eswatini, Mswati wa III amewataka vijana wa nchini kwake waliofikia umri wa kuoa, waoe haraka na kusisitiza kuwa wanatakiwa waoe wake wawili au zaidi, kinyume na hapo atawatupa lupango/jela wote wasiotekeleza agizo hilo kuanzia Mwezi Juni, 2019.

Mswati wa III ana jumla ya wake 15 na watoto 25. Baba yake ambaye pia alikuwa mfalme wa nchi hiyo, alikuwa na wake 70 na watoto zaidi ya 150.

Mswati alitoa onyo kali kwa mwanaume au mwanamke atakayekiuka agizo hilo atahukumiwa kifungo cha maisha jela.

Eswatini ni nchi ya Afrika yenye idadi kubwa zaidi ya wanawake kuliko wanaume, hivyo wanawake wengi hukosa wanaume wa kuwaoa.


King Mswati III of Swaziland has declared in Mbabane Swaziland that men will from June 2019 be required to marry at least two or more wives or be jailed if they fail to do so.

The king, who has 15 wives and 25 children,While his father and predecessor has more than 70 wives and 150+ children revealed that Swaziland is facing a very serious problem as there are more women than men in his country.
Men from Swaziland are therefore required and expected to take more wives so that every woman gets a husband.

The country which is known to be full of virgins, is also said to have more women than men.

In a statement, king Mswati called for all men in the country to marry at least five wives and the government assured the men that it would pay for the marriage ceremonies and buy houses for them.

ing Mswati warned that any man or woman who opposes the decision “will face a life sentence”.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527