Spika Job Ndugai amemuandikia barua Mwenyekiti wa NEC Jaji Semistocles Kaijage kumtaarifu kuwa jimbo la Arumeru Mashariki linaloongozwa na mbunge Joshua Nassari liko wazi kutokana na mbunge huyo kupoteza sifa kutokana na kutokuhudhuria vikao vya mikutano 3 ya bunge mfululizo.