Tanzia : MSANII WA HIPHOP GODZILLA AFARIKI DUNIA


Msanii maarufu wa muziki Hip Hop Golden Mbunda maarufu Godzilla amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo Jumatano, February 13, 2019 akiwa nyumbani kwao, maeneo ya Salasala, DSM. Mwili wake umehifadhiwa ktk Hospitali ya Jeshi ya Lugalo.
Mtu wake wa karibu ameeleza kuwa presha ilishuka na sukari ilipanda pamoja na kuumwa na tumbo.

Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana, Godzilla amefariki dunia ghafla nyumbani kwao Salasala jijiji Dar es Salaam. Mwili umehifadhiwa katika Hospitali ya Jeshi ya Lugalo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527