HAKI ARDHI YAENDESHA MAFUNZO KWA WAHARIRI NA WAANDISHI WA HABARI JUU YA HAKI ZA ARDHI NA MABADILIKO YA TABIANCHI,BAGAMOYO


Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti na Utetezi wa Haki za Ardhi (Haki Ardhi) Bw. Cathbert Tomitho akielezea kwa kina juu ya mfumo wa utatuzi wa migogoro ya ardhi.
Ofisa Programu wa Taasisi ya Utafiti na Utetezi wa Haki za Ardhi (Haki Ardhi) Bw. Joseph Chiombola akitoa mada juu ya Sheria za ardhi kwa wanawake.
Bw. Nuhu Kitaluka akitoa mada juu ya mabadiliko ya Tabianchi, athari zake kwa wazilishaji wadogo wadogo katika kilimo,ufugaji na afya pia alitoa mifano kutoka wilaya za Morogoro na Mufindi
Baadhi ya washiriki wa mafunzo kwa wahariri na waandishi wa Habari juu ya haki za ardhi na mabadiliko ya Tabianchi 
Bw. Samson Mollel akielezea mbinu shirikishi za kukabiliana na athari za mabadiliko ya Tabianchi vijijini
Picha ya pamoja.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527