HIZI HAPA PICHA ZA DARAJA REFU ZAIDI DUNIANI LILILOZINDULIWA CHINA
Wednesday, October 24, 2018
DARAJA REFU ZAIDI CHINA LAZINDULIWA
Rais Xi Jinping wa China leo, Jumanne amezindua daraja refu zaidi lililojengwa na kusanifiwa kwa miaka 15 na lenye urefu wa kilomita 55 huko Zhuhai, kusini mwa China.
Uzinduzi rasmi wa daraja hilo la Hong Kong-Zhuhai-Macao unadaiwa kuwa mradi uliochukua muda mrefu na uliokabiliwa na ugumu zaidi kwani umevuka bahari na ni mradi wa kwanza kujengwa mkoani Guangdong, Macao na Hong Kong.
Daraja hilo limefanikisha azma yake kwa mara ya kwanza katika kuunganisha barabara kati ya Zhuhai, Macao na Hong Kong, huku likipunguza muda wa usafiri kutoka Hong Kong hadi Zhuhai na Macao kutoka saa 3 hadi dakika 45.
SOURCE:AZAM TV
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin