AJALI:BASI LA KAMPUNI YA TASHRIFF LATETEKETEA KWA MOTO SOMA ZAIDI HAPA

AJALI:Basi La Kampuni Ya TASHRIFF Limeteketea kwa moto asubuhi ya leo, ajali hiyo imetokea asubuhi ya leo karibu na kituo cha mafuta kilichopo kange mkoa wa Tanga 

katika tukio hilo hakuna abiria aliyepoteza maisha wala kujeruhiwa.Thamani ya mali zilizoteketea bado haijafahamika.

MALUNDE 1 inaendelea kufatilia tukio hilo na itakuletea habari kamili hapa hapa 


 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527