RAIS MAGUFULI AMETUMBUA NA KUFANYA UTEUZI ASUBUHI HII


Rais John Magufuli, amemteua Mbunge wa Songea Mjini, Dk. Damas Ndumbaro, kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akichukua nafasi ya Suzan Kolimba, ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527