ALIYEFARIKI MWAKA 2000 AFUFUKA KIGOMA


Wakazi wa Kigoma wameingiwa na woga baada ya kushuhudia mtu aliyefariki dunia mwaka 2000 kuonekana kwa mara nyingine akiwa hai.

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma ACP, Martini Ottieno ameelezea tukio hilo la kushangaza nakusema, mtu huyo anafahamika kwa jina la Ntahuruli Ntahije na kwamba alifariki dunia baada ya kuugua ghafla akiwa anafanya kazi za bustani mjini Kgoma, ambapo hadi sasa hapakumbuki tena kwa bosi wake.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527