WAZIRI MWAKYEMBE AFANYA UTEUZI WA MWENYEKITI WA BODI YA FILAMU NCHINI

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amemteua Prof. Frowin Paul Nyoni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu nchini Tanzania pamoja na wajumbe wapya sita wa bodi hiyo.


Hayo yamebainishwa na taarifa zilizotolewa na Wizara hiyo na kusema uteuzi huo umeanza kufanya kazi rasmi Aprili 18, 2018 na wataitumikia bodi hiyo kwa kipindi cha miaka mitatu.


Kwa taarifa kamili soma hapa chini..

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527