SHY TOWN VETERAN SC YAICHAPA SHINYANGA VETERANS 2 - 0 UWANJA WA KAMBARAGE

Leo Jumamosi Mei 12,2018 kumefanyika mchezo wa mpira wa miguu kati ya Shy Town Veteran Sports Club na Shinyanga Veterans.

Katika mchezo huo uliofanyika katika Uwanja wa CCM Kambarage mjini Shinyanga Shy Town Veteran Sports Club walifanikiwa kuichapa Shinyanga Veterans bao 2 - 0 ,mabao yaliyowekwa kimiani na Katoto Mohamed na Abdallah Juma.
Timu ya Shy Town veteran ikiwa tayari kuvaana na Shinyanga Veterans leo katika Uwanja wa CCM Kambarage

 Wachezaji wa Shy Town Veteran Sports Club na Shinyanga Veterans kabla ya mchezo.









Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527