Video : HOTUBA NZITO ILIYOMPA USHINDI MH. MASELE KUWA MAKAMU WA RAIS BUNGE LA AFRIKA


Miongoni mwa habari kubwa wiki hii ni kuhusu Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini (CCM), Mheshimiwa Stephen Masele kuchaguliwa kwa kishindo kuwa Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika (PAP).

Uchaguzi huo ulifanyika Mei 10, 2018 nchini Afrika Kusini.

Nimekuwekea hapa Hotuba ya Mheshimiwa Masele iliyompa ushindi. 
Tazama video hapa chini

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527