Angalia Picha!! Hivi Ndiyo Visiwa 10 Bora Zaidi Duniani mwaka 2016


Duniani zipo sehemu nzuri na za kuvutia zaidi, maeneo mengi ya visiwani yanawezekana yakaongoza kwa kuvutia kutokana na kuwa na mazingira mazuri ya asili yanayovutia, watu wengi hutumia maeneo haya kwa ajili ya mapumziko na utalii.

Mtandao wa CNN wametoa orodha ya  visiwa 10 bora zaidi duniani  mwaka 2016

10. Fernando de Noronha, Brazil


Idadi ya watu wanaoruhusiwa kutembelea fukwe ya Fernando de Noronha ina kiwango

9. Bora Bora, French Polynesia


Fukwe zenye mchanga mweupe na rasi ya bluu ni sababu mbili ambazo zimeifanya Bora Bora kuwa kwenye nafasi ya tisa kwa mwaka wa pili mfululizo

8. Phuket, Thailand


.

7. Mauritius, Africa


.

6. Mallorca, Spain


.

5. Bali, Indonesia


Bali ni kati beach nzuri inayojulikana lakini pia ina mfumo wa matuta ya mchele ambayo yanalindwa na UNESCO

4. Providenciales, Turks and Caicos


Inajulikana kama ‘Provo’ Providenciales ni kisiwa kilichoendelea sana.

3. Jamaica, Caribbean


Haikuwa kwenye orodha ya Top ten mwaka uliopita lakini sasa imefika hadi nafasi ya tatu

2. Santorini, Greece


Kisiwa hiki kina Mabaki ya Volcano iliyolipukia kwenye bahari ya Aegean na ina beach yenye mchanga mweusi

1. Maui, Hawaii
Kisiwa hiki kina beach nzuri na zenye kuvutia zaidi ya 80

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post