WANAOHAMA CCM WADAI WANAHAMA KUEPUKA MATATIZO YASIYO YA LAZIMA IKIWEMO SIASA ZA CHUKI



Wananchama na viongozi wa CCM waliohamia chama Chadema akiwemo aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani Bw Laurence Masha wamesema uamuzi wa kukihama chama mapinduzi hautokani na tamaa ya madaraka kama inavyodaiwa bali wanajiepusha na matatizo yasiyo ya lazima likiwemo la ukiukwaji wa haki unaoendelea kujikita ndani ya chama hicho.


Wakizungumza na maelfu ya wananchi wa mkoa wa Mwanza walijitokeza kumpokea mgombea urasi wa umoa wa UKAWA kupitia chama Chadema Mh.Edward Lowasa viongozi hao wamewataka watanzania kujiepusha na matatizo yasiyo ya lazima likiwemo la kuendeleza siasa za chuki.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post