LOWASSA NI BALAA SANA!! SHUHUDIA MAAJABU YAKE LEO JIJINI MWANZA,WANANCHI WADEKI LAMI



Mgombea urais kupitia Ukawa Edward Lowassa amekusanya umati wa watu mkoani Mwanza leo wakati wa kuomba wadhamini nafasi hiyo ikiwa sehemu ya kukamilisha sheria za uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 nchini kote.


Wakazi wa Mwanza

Uchaguzi huo utahusisha nafasi ya udiwani, ubunge na urais kwa vyama mbalimbali ambavyo vinalazimika kuwa wanyenyekevu mbele ya watanzania ili kutoa ridhaa ya kuwatawala baada ya kuwapigia kura katika nafasi hizo.


















Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post