Video Mpya Kabisa!! KING KAKA Ft JOH MAKINI & G NAKO- Wimbo unaitwa NAJIPENDELEA
Friday, August 21, 2015
King Kaka ni Rapper toka Pande za Kenya, ameachia Video ya Single yake mpya akiwashirikisha wakali wawili kutoka Crew yaWeusi, Joh Makini na G Nako, ngoma yake inaitwa "Najipendelea" .
Video imefanyika hapa hapa Bongo chini ya Director Joowzey.
Bofya hapa chini kutazama Video hii
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin