ASKARI WA JWTZ WAMSHAMBULIA TRAFIKI KWENYE MATAA YA UBUNGO JIJINI DAR
Saturday, October 20, 2012
Wanajeshi
wanaokadiriwa kuwa 50 kwa pamoja wamemshambulia trafiki kwenye taa za
ubungo na kuondoka kwa madai kuwa kawachelewesha kwenye foleni, baada ya
kuondoka magari hayo ya jeshi yalizuiwa kwa muda wa zaidi ya saa moja
maeneo ya Tabata dampo.kabla ya kuachiwa kuendelea na safari yake.
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin